Nasa waenda Mahakamani kupinga matokeo ya urais.

In Kimataifa

Uongozi wa muungano wa upinzani wa Nasa nchini Kenya, umeamua kwenda Mahakama kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu, yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta.

Kwa uamuzi huo Rais Kenyatta hataapishwa tena Agosti 29 kama ilivyotarajiwa, kwani atatakiwa kusubiri hatima ya kesi hiyo, ambayo inapaswa kusikilizwa kwa muda usiozidi siku 14.

Ikiwa Mahakama ya Juu nchini humo itatupa kesi hiyo,Kenyatta ataapishwa Septemba 12, lakini ikiwa ushahidi utaonyesha wizi Wakenya watarudi katika uchaguzi.

Msimamo wa Nasa kwenda kortini umekuja siku chache, baada ya Rais Kenyatta kumtaka Odinga asitumie njia zinazoweza kusababisha machafuko, bali kwenda mahakamani kupata haki yake.

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu