Nasa waenda Mahakamani kupinga matokeo ya urais.

In Kimataifa

Uongozi wa muungano wa upinzani wa Nasa nchini Kenya, umeamua kwenda Mahakama kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu, yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta.

Kwa uamuzi huo Rais Kenyatta hataapishwa tena Agosti 29 kama ilivyotarajiwa, kwani atatakiwa kusubiri hatima ya kesi hiyo, ambayo inapaswa kusikilizwa kwa muda usiozidi siku 14.

Ikiwa Mahakama ya Juu nchini humo itatupa kesi hiyo,Kenyatta ataapishwa Septemba 12, lakini ikiwa ushahidi utaonyesha wizi Wakenya watarudi katika uchaguzi.

Msimamo wa Nasa kwenda kortini umekuja siku chache, baada ya Rais Kenyatta kumtaka Odinga asitumie njia zinazoweza kusababisha machafuko, bali kwenda mahakamani kupata haki yake.

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu