Nasa waenda Mahakamani kupinga matokeo ya urais.

In Kimataifa

Uongozi wa muungano wa upinzani wa Nasa nchini Kenya, umeamua kwenda Mahakama kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu, yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta.

Kwa uamuzi huo Rais Kenyatta hataapishwa tena Agosti 29 kama ilivyotarajiwa, kwani atatakiwa kusubiri hatima ya kesi hiyo, ambayo inapaswa kusikilizwa kwa muda usiozidi siku 14.

Ikiwa Mahakama ya Juu nchini humo itatupa kesi hiyo,Kenyatta ataapishwa Septemba 12, lakini ikiwa ushahidi utaonyesha wizi Wakenya watarudi katika uchaguzi.

Msimamo wa Nasa kwenda kortini umekuja siku chache, baada ya Rais Kenyatta kumtaka Odinga asitumie njia zinazoweza kusababisha machafuko, bali kwenda mahakamani kupata haki yake.

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu