Pipi zatumika kutibu Maji Wilayani Chemba Dodoma.

In Kitaifa

Licha ya kuwa Dodoma ni Makao Makuu ya Nchi,lakini hali
duni inayosababishwa na uhaba wa Maji safi na Salama pamoja
na miundombinu katika baadhi ya maeneo Wilayani Chemba
unawatesa wakaazi wake.


Katika kutafuta ufumbuzi wa kunusuru Afya zao baadhi yao
wameamua kujivisha utabibu wa asili,kwani wakati wewe
ukinunua pipi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo
kumumunya,katika wilaya ya Chemba ni tofaut kwani pipi hizo
hizo zinatumika kutibu maji,kama anavyoelezea mama huyu.


Katika upande wa miundombinu ya barabara hususani kwenye
madaraja bado ni chagamoto,kwani mvua kubwa zinaponyesha
kwa wingi hali huwa tete kutoka eneo moja kwenda jingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu