Polisi yatoa kauli kwa dada aliyeibiwa Mil 20.

In Kitaifa

Mfanyabiashara ambaye ni Wakala wa miamala ya simu na
kibenki Mkoani Manyara Tatu Athuman,amejitokeza na
kuthibitika kuwa ndiye aliibiwa Milioni 20 baada ya Wahalifu
kuvunja nyumbani kwake na baadaye kukamatwa na Polisi
wakiwa nyumba ya kulala Wageni.


Kamanda wa Polisi ktk mkoa wa Manyara George Katabazi
amesema wamejiridhisha kuwa,Mfanyabiashara huyo ndiye
aliyeibiwa fedha hizo,huku wakiendelea na kubaini mtandao huo
wa uhalifu na kuwataka Wafanyabihashara kuweka Walinzi
katika maeneo yao ya biashara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu