Amjeruhi mpenzi wake kwa risasi wakiwa hotelini…

In Mahusiano


Polisi mkoani Geita inamshikilia mfanyabiashara Bw.Salum
Othman mkazi wa jijini Mwanza kwa tuhuma za kumjeruhi kwa
kumpiga risasi kwa bastola mpenzi wake Happyness Israel
wakiwa nyumba ya kulala wageni majira ya saa nne asubuhi
katika hoteli ya Kilimanjaro iliyopo mtaa wa Nyamalembo,kata
Mtakuja mjini Geita pamoja na kumjeruhi Meneja wa hoteli
hiyo Ndugu John Maftaa alipotaka kutoa msaada wa kumdhibiti
mtuhumiwa Salum Othman.
Taarifa hiyo imethibitishwa hapa mtaa wa mastory na Kamanda
wa Polisi Geita Mponjoli Mwabulambo huku Chanzo cha tukio
hilo kinadaiwa ni wivu wa mapenzi.


Mkurugenzi wa Hoteli Ndugu Paulo Limo yeye pia ameelezea
namna tukio lilivyotekea hotelini hapo.

Naye Kaimu Mganga mfawidhi katika hosptali ya rufaa Mkoani
Geita Dk,Shaban Massawe yeye amethibitisha kuwapokea
majeruhi wawili na pia ameelezea namna alivyowapokea
sambamba na hali zao.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu