Handeni kuwa ya mfano ufugaji wa kisasa-Ulega.

In Uncategorized

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema
Serikali imeweka mipango mizuri ya kuhakikisha kijiji cha
Msomera kilichopo Wilayani Handeni, Mkoani Tanga kinakuwa
na miundombinu ya kisasa ya kuhudumia mifugo ikiwemo
Majosho, Malambo na Nyanda za malisho ili wafugaji kutoka
hifadhi ya Ngorongoro watakaohamia katika eneo hilo waweze
kufuga kisasa na kwa tija.


Ulega aliyasema hayo alipofanya ziara katika Kijiji hicho cha
Msomera ambapo kuna eneo limetengwa maalum kwa ajili ya

wafugaji kutoka hifadhi ya Ngorongoro kuhamia hapo kwa hiari
yao ili kuendeleza shughuli zao za ufugaji.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu