SERENGETI BOYS WATUA SALAMA MOROCCO

In Michezo

Baada ya safari ndefu, hatimaye kikosi cha Serengeti Boys kimetua salama nchini Morocco.

Serengeti imetua Morocco tayari kuweka kambi kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika nchini Gabon.

Mwenyekiti wa Soka la Vijana wa TFF, Ayubu Nyenzi amesema wamefika salama Casablanca lakini wanalazimika kusafiri kilomita 100 zaidi.

“Tunatoka Casablanca kwenda Rabat, hivyo safari inaendelea safari hii kwa gari,” alisema.

Kikosi hicho kiliondoka jana Alasiri kwenda Morocco kupitia Dubai, safari ambayo imechukua zaidi ya saa 24 kukamilika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu