SERENGETI BOYS WATUA SALAMA MOROCCO

In Michezo

Baada ya safari ndefu, hatimaye kikosi cha Serengeti Boys kimetua salama nchini Morocco.

Serengeti imetua Morocco tayari kuweka kambi kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika nchini Gabon.

Mwenyekiti wa Soka la Vijana wa TFF, Ayubu Nyenzi amesema wamefika salama Casablanca lakini wanalazimika kusafiri kilomita 100 zaidi.

“Tunatoka Casablanca kwenda Rabat, hivyo safari inaendelea safari hii kwa gari,” alisema.

Kikosi hicho kiliondoka jana Alasiri kwenda Morocco kupitia Dubai, safari ambayo imechukua zaidi ya saa 24 kukamilika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu